1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hali ya uchaguzi katika jimbo la Kiambu

Shisia Wasilwa26 Oktoba 2017

Katika jimbo la Kiambu, afisa wa uchaguzi amesema huenda hali ya watu wachache kujitokeza imechangiwa na mvua ambayo imenyesha. Mwandishi wa DW-Kiswahili Shisia Wasilwa anaeleza zaidi.

https://p.dw.com/p/2mXVT