1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hali ya kisiasa Gambia

Tatu Karema5 Januari 2017

Mkuu wa majeshi ya Gambia, Luteni Jenerali Ousman Badjie, amerudia kuelezea hatua yake ya kumtii kiongozi wa muda mrefu wa nchi hiyo, Yahya Jammeh, licha ya kushindwa uchaguzi mwaka jana. Sikiliza mahojiano haya na mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Tanzania, Bashiru Ali, akifafanua.

https://p.dw.com/p/2VLxw