Wakili wa kujitegemea nchini Tanzania, Fatma Karume, anawania nafasi ya urais wa Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) ambayo kwa sasa inashikiliwa na Tundu Lissu, na Kinagaubaga inazungumza naye kuhusu muelekeo na muono wake endapo akichaguliwa na wanasheria wenziwe.