1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Facebook yatimiza miaka 15 ikikabiliwa na ukosoaji

Yusra Buwayhid
6 Februari 2019

Facebook imetimiza miaka 15 tokea kuanzishwa kwake, huku ikiwa inakabiliwa na ukosoaji mkali kwa kutolinda ipasavyo data binafsi za watumiaji wake. Na vifaa vya kiteknolojia vinazalisha uchagu wa tani milioni 50 kila mwaka. Je, vifaa vyako usivyovihitaji unavifanyaje?

https://p.dw.com/p/3Cp3A