1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DHAKA.Moto mkubwa wazuka

26 Februari 2007
https://p.dw.com/p/CCOO

Mtu mmoja ameuwawa baada mto mkubwa kuzuka katika jumba moja kubwa nchini Bangladesh.

Vituo viwili vya televisheni na ofisi moja ya magazeti zimo katika jumba hilo.

Wazima moto wakishirikiana na maafisa wa jeshi la wanahewa wanapamambana kuuzima moto huo.

Hata hivyo kilicho sababisha moto huo bado hakijajulikana.