1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DAKAR: Nusu ya vifo vya watoto vinavyoweza kuzuiliwa hutokea Afrika

11 Novemba 2006
https://p.dw.com/p/CCtw

Nusu ya vifo vya watoto duniani,vinavyosababishwa na maradhi yanayoweza kuzuiliwa, hutokea barani Afrika.Kwa mujibu wa mkurugenzi mkuu wa UNICEF- shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia watoto duniani,Bibi Ann Veneman,kote duniani, zaidi ya watoto milioni 10 hufariki kutokana na magonjwa ambayo kwa sehemu kubwa yangeweza kuzuiliwa.Kama watoto milioni 5 hufariki katika nchi za Kiafrika.