1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

COLOMBO: Wasaidizi wa miradi ya Tsunami wameuawa

3 Juni 2007
https://p.dw.com/p/CBvD

Wafanyakazi 2 wa Shirika la Msalaba Mwekundu wameuawa baada ya kutekwa nyara nchini Sri Lanka. Kwa mujibu wa Msalaba Mwekundu,washambulizi walivaa sare ya polisi.Wafanyakazi hao 2 walikuwa wakishughulikia miradi ya kuwasaidia wahanga wa Tsunami.