1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Christina Singeli- waziri wa michezo anayehamasisha michezo hasa kwa wasichana

Veronica Natalis28 Juni 2022

Christina Singeli ni waziri wa michezo katika serikali ya wanafunzi wa chuo cha uwalimu wa awali Ndala, kilichopo wilaya ya Nzega mkoani Tabora magharibi mwa Tanzanania. Alichaguliwa kushika nafasi hiyo kutokana na hamasa ya kupenda michezo na uongozi. Veronica Natalis alitemebelea chuoni kwake na kuandaa makala hii.

https://p.dw.com/p/4DMww