Chadema chataka wabunge wake waloapishwa kujieleza
Chama cha demokrasia na maendeleo kimeweka wazi msimamo wake wa kuwaita wabunge hao kujieleza ni kwa nini walikiuka msimamo wa chama . Hii ni baada ya wabunge 19 kuapishwa na Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai, kama wabunge wa viti maalumu
Tazama vidio03:00
Shirikisha wengine
Chadema chataka wabunge wake waloapishwa kujieleza