Roberto Gaudiosso ni mwanafunzi wa kiswahili raia wa Itali aliyefundishwa na Profesa Kezilahabi huko Gaboron,Botswana. Msomi huyo wa lugha za kiafrika mzaliwa wa Ukerewe Tanzania alijipatia sifa kubwa katika utunzi wa riwaya za kusisimua pamoja na mashairi ya weledi mkubwa.Karibuni inamuenzi msomi huyo kwa kuzungumza na mwanafunzi wake aliyezifanyia kazi baadhi ya kazi zake.