18 Septemba 2020
Matangazo
Je nini kitarajiwe katika mchezo wa leo dhidi ya mabingwa waliotoroka na mataji matatu msimu huu? Kuna mjadala mkubwa katika Ligi Kuu ya Kandanda Ujerumani, Bundesliga iwapo kuna timu inaweza kuwavua ubingwa Bayern, washukiwa wa kawaida wametajwa, wakiongozwa na Borussia Dortmund. Kuhusu mchezo wa leo pamoja na ubabe wa Bayern katika Bundesliga Sudi Mnette amezungumza na Sekione Kitojo wa dawati la michezo.