1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Biden azidi kupongezwa kwa ushindi licha ya Trump kukataa kukubali kushindwa

9 Novemba 2020

Wakati viongozi mbalimbali duniani wakimpongeza Rais mteule wa Marekani Joe Biden, Rais wa sasa Donald Trump, hadi sasa hajayakubali matokeo kwa madai kwamba kulikuwa na udanganyifu kwenye uchaguzi.

https://p.dw.com/p/3l3Sr