1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Beirut. Tanki la gesi lalipuka katika kampuni ya mikate.

24 Desemba 2006
https://p.dw.com/p/CCgX
Waziri wa nje wa Uingereza huko Sham el Sheikh
Waziri wa nje wa Uingereza huko Sham el SheikhPicha: AP

Mlipuko umetokea karibu na chuo kikuu cha Marekani mjini Beirut mapema leo, kituo cha televisheni cha Al-Jazeera kimeripoti, wakati polisi wa Lebanon wamesema mlipuko huo umetokea katika kampuni ya kuoka mikate.

Kwa mujibu wa duru za polisi nchini Lebanon , mlipuko huo , ama sauti ya mlipuko , ulitokea katika kampuni ya kuoka mikate karibu na viwanja vya chuo kikuu.

Polisi wamesema hakuna taarifa za kuumia kwa watu.