1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Baraza la maimamu laonya kuhusu matamshi ya chuki Kenya

20 Julai 2022

Baraza la maimamu na wahubiri nchini Kenya linaishinikiza tume ya uchaguzi IEBC kuwachukulia hatua wanasiasa wanaoeneza kauli za chuki hasa katika kaunti za pwani. Viongozi hao wa kidini wamewaasa vijana kutotumiwa na wanasiasa kuzua vita dhidi ya wapinzani wao. Isikilize ripoti ya mwandishi wa DW Thelma Mwadzaya.

https://p.dw.com/p/4EPwz