1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Australia yakanusha

9 Desemba 2007

---

https://p.dw.com/p/CZPq

Serikali ya Australia imekanusha taarifa kuwa imejitolea kubakisha majeshi ya Australia nchini Afghanistan hadi 2010.australia imekanusha hayo kujibu ripoti kuwa serikali ya Holland imeliambia Bunge lake kuwa Australia itajiunga na nchi nyengine kubakisha vikosi vyake nchini Afghanistan hadi wakati huo.

Waziri wa ulinzi wa Australia Joel Fitzgibbon amesema hakuna uamuzi uliokatwa kurefusha muda wa vikosi vya australia nchini Afghanistan kupindukia august,mwakani.