Vyombo vya habari asili vimekuwa vikitegemewa tangu jadi katika kutoa habari, burudani na elimu za namna mbali mbali.akini tangu kuingia kwa mitandao ya kijamii kama Facebook, Twitter, You Tube na Watsapp vyombo vya habari vimejipata katika hali ya kusaidiwa katika kutekeleza majukumu yake. Makala yetu lepo inatuama hapo naye Faiz Musa.