1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Asubuhi 20.07.2018: Taarifa ya Habari Saa 12:00

John Juma
20 Julai 2018

Rais Donald Trump kumualika Rais Vladimir Putin mjini Washington baadaye mwaka huu.// Rais wa D.R-Congo Joseph Kabila, atoa hakikisho kuwa uchaguzi mkuu, utaendelea kama ulivyopangwa lakini achelea kusema ikiwa atagombea tena urais.// Mahakama ya juu ya Uhispania, imeufuta waranti wa kimataifa wa kutaka wanasiasa sita akiwemo rais wa zamani wa jimbo la Catalonia wakamatwe.

https://p.dw.com/p/31nLB