1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Amani,utulivu na kuyakubali matokeo baada ya uchaguzi

9 Agosti 2022

Zoezi la uchaguzi linaendelea nchini Kenya, hoja ya amani na utulivu bado inasalia miongoni mwa wengi nchini humo, ikiwemo wanasiasa na wafuasi wao kukubali matokeo ili mchakato huo wa kikatiba na kidemocrasia umalizike salama bila umwagaji damu

https://p.dw.com/p/4FK2M