1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Agwambo asimama peke yake kwenye mdahalo

Saumu Mwasimba
25 Julai 2017

Mgombea urais wa NASA ajikuta peke yake kwenye jukwaa la mdahalo baada ya Uhuru Kenyatta kuupiga chini mdahalo huo,Israel yaondowa vifaa vyake vya ukaguzi katika milango ya kuingia eneo takatifu la Jerusalem na Rais Macron awakalisha meza moja viongozi wa serikali mbili zinazotafautiana Libya.Papo kwa Papo 25.07.2017

https://p.dw.com/p/2h83R