1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika Wiki Hii: Mukhtasari wa Taarifa Muhimu Wiki hii Inayomalizika

Daniel Gakuba
2 Novemba 2018

Hali ya kisiasa nchini Tanzania, mazishi ya mtangazaji mwenzetu Marehemu Isaac Gamba, kurejea mjini Juba kwa aliyekuwa kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini Riek Machar na maandalizi ya uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ni miongoni mwa mada zilizogongwa vichwa vya habari Afrika. Sikiliza makala hii ya Afrika Wiki kujikumbusha.

https://p.dw.com/p/37aEq