Rwanda: Mkosoaji wa serikali ya Rwanda Paul Rusesabagina akamatwa/ Kampeni za chama cha upinzani nchini Tanzania/ Mwanadiplomasia wa Lebanon Mustapha Adib amechaguliwa kuwa waziri mkuu mpya, na kupewa jukumu la kuunda serikali mpya/ Kenya: Kupanda kwa viwango vya maji kwenye maziwa yaliyoko eneo la bonde la ufa kumewaacha maelfu ya watu bila makao