Makamu wa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr Philip Mpango anatarajiwa kuapishwa leo Jumatano// Wakristo kote ulimwenguni wapo katika kipindi cha juma kuu ambalo huanza kuadhimishwa siku ya jumapili ya matawi// Wakaazi wa mji wa Hong Kong wanatajwa kuhamisha mabilioni ya dola kutoka sehemu mbali mbali za dunia na kuzihamishia Canada ambako wengi wanatarajia kuanzisha maisha mapya.