Kauli ya Dkt. Bashiru Ally ya kuwakaribisha wanawake kutoka vyama vya upinzani kujiunga na CCM, imezua mjadala mpana nchini Tanzania/ Human Rights Watch: Mamlaka za Tanzania zimewatesa kwa kiwango cha kutisha wakimbizi na waomba hifadhi wasiopungua 18 kutoka nchi jirani ya Burundi/ Museveni na Bobi Wine walaumiana kuhusu vifo vya raia/ WHO: Mapambano ya malaria yanakwamishwa na COVID-19, fedha