Uganda: Ongezeko la mikasa ya mauaji ya raia katika eneo la Greater Masaka> Mahojiano/ Abiy Ahmed ziarani Rwanda/ Mahakama kuu ya Tanzania imesikiliza kesi ya kikatiba/ Pakistan yapeleka msaada wa dawa Afghanistan/ WHO limeonya kuhusu uwezekano wa ongezeko la vifo hapa barani Ulaya kutokana na janga la Covid-19