Bunge la Ujerumani limepiga kura kwa wingi kuruhusu ndoa za jinsia moja//Vijana nchini Uganda wamelezea ushindi wa msanii Robert Kyagulanyi maarufu kwa jina la Bobi Wine kwa kiti cha ubunge kuwa mwamko mpya kwao katika tasnia ya siasa// Mkutano mkuu wa chama tawala nchini Afrika Kusini cha African National Congress, ANC unaanza leo.