Waziri wa mambo ya nje wa Saudi Arabia, Ibrahim al-Assaf ameyataka mataifa ya Kiislamu kukabiliana kwa nguvu zote na aina zote za mashambulizi ya hivi karibuni katika Ghuba ya Uajemi//Mwili wa aliyekuwa kinara wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Etienne Tshisekedi unatarajiwa kuwasili usiku wa leo mjini Kinshasa