Rais Samia Suluhu Hassan amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Chama tawala nchini Tanzania, CCM, katika mkutano mkuu maalumu// Rais wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amewatumia risala wanafunzi waliopiga kambi kwenye ofisi ya Meya wa Beni na kuwaomba warudi manyumbani// Kenya itazifunga kambi za wakimbizi za Kakuma na Daadab, ifikapo mwezi Juni mwaka ujao.