Tanzania: Vuta nikuvute ndani ya chama cha CCM juu ya uwenyekiti/ Kongo:Mwito kwa serikali kuwawajibisha wavujanji wa haki za binadamu/ Mauji ya rais wa Chad Idriss Deby na waasi wa kaskazini kumeitikisa nchi/ Waislam nchini Burundi waendela kukumbwa na hali duni kimaisha wakati Ramadhani/ Wasiwasi kuhusu usalama wa chanjo barani Afrika