Baraza la kijeshi la kipindi cha mpito nchini Sudan limesema halitavumilia ghasia nchini humo, siku moja baada ya waandamanaji kusema kwamba wanajeshi wanajaribu kuwatawanya kutoka mjini Khartoum// Serikali ya Rwanda imesema imemkamata Nsabimana Callixte aliyejulikana kwa jina la meja Sankara ambaye alikuwa ni msemaji muungano wa makundi yanayopambana kuuangusha utawala wa Rais Paul Kagame.