Idadi ya maambukizi ya corona yashuka Uhispania/ Mchungaji aliyepotosha kuhusu corona Uganda, afikishwa rumande/ Ujerumani kuisaidia Afrika Mashariki kupambana na corona/ Congo: Hali ya usalama inaonekana kuwa ya wasiwasi kutokana na mashambulizi yanayofanywa na waasi/ Mashirika ya uokoaji katika bahari ya mediterenia yana wasiwasi kwamba idadi ya wahamiaji wanaofariki huenda ikaongezeka