Usiku wa Ijumaa ya Januari 31 waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson atakuwa kwenye nafasi ya kujitapa kuwa amefanikiwa kuindoa nchi yake kutoka Umoja wa Ulaya// Mwanaharakati wa mazingira kutoka Uganda, Vanessa Nakate amesema Afrika iko mstari wa mbele katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi// Vijana wengi wa Kiafrika wana ndoto ya kupata elimu ya juu.