Rais wa shirikisho la jamhuri ya Ujerumani Frank-Walter Steinmeier amekamilisha ziara yake ya siku nne nchini Ethiopia //Maafisa wa ngazi ya juu wa Umoja wa Ulaya wanaohusika na Brexit wamesisitiza hii leo kuwa makubaliano ya talaka ya umoja huo na Uingereza hayawezi kujadiliwa upya