Wimbi la uhalifu nchini Uganda ambapo watu wasiojulikana huvamia vituo vya polisi na kuwapokonya askari bunduki limeleta hofu na mashaka miongoni mwa raia+++Jumuiya ya kujihami ya NATO inakutana leo Jumanne mjini Bucharest+++Korea Kaskazini imefanya majaribio mengi ya makombora ya masafa marefu ambayo hayajawahi kushuhudiwa mwaka huu wa 2022.