Tunaanzia nchini Marekani ambapo Rais Donald ametangaza mpango wake wa amani ya Mashariki ya Kati kati ya Isreal na Wapalestina, uliosubiriwa kwa muda mrefu// Wakati mripuko wa virusi vya SARS ulipoikumba China mwaka 2002- 2003, serikali mjini Beijing ilitumia mbinu za usiri na kuzuia taarifa kama mkakati wa kupambana na hatari hiyo ya kiafya.