Shirika la kimataifa la Transparency International limetoa ripoti mpya inayoangazia rushwa katika viwango vya kimataifa// Iran imepuuza mbali wito kutoka kwa Marekani na Umoja wa Ulaya kusitisha mpango wake wa kutengeza makombora// Marekani imeiwekea Venezuela vikwazo vipya vya kiuchumi// Wakfu maarufu wa Fulbright wa Marekani umemtunukia kansela Angela Merkel tuzo ya Fulbright kwa mwaka 2018.