DRC: Kikao cha kwanza cha bunge jipya/ Wanasiasa wa upinzani nchini Tanzania wameanza kujipasha joto kuelekea katika uchaguzi mkuu wa mwakani/ Venezuela: Guaido aliyejitangaza kuwa Rais wa muda ameitisha maandamano mapya katika juhudi za kulishinikiza jeshi kumgeuka Rais Maduro / Papa Francis amemaliza ziara ya siku tano nchini Panama