1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.01.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S29 Desemba 2017

George Weah ameshinda kwa wingi mkubwa uchaguzi wa rais nchini Liberia// Uganda imewafungulia mashitaka ya ugaidi raia 45 wa Rwanda baada ya kukamatwa katika mpaka wa Uganda na Tanzania mapema mwezi huu// Mahakama ya juu ya Afrika Kusini leo imetoa hukumu kwamba bunge la nchi hiyo limeshindwa kumuwajibisha ipasavyo Rais Jacob Zuma juu ya kashfa ya kutumia fedha za umma.

https://p.dw.com/p/2q7AL