Mjadala mkubwa nchini Tanzania ni pamoja na hotuba ya rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania> Mahojiano/ Kongo: Kampeni ya uchaguzi mkuu imechangamshwa kutokana na kuwasili mjini Kinshasa kwa viongozi wawili wa upinzani ambao wameungana kuwania kwenye uchaguzi wa Disemba 23/ Argentina yachunguza madai dhidi ya Mohammed bin Salman/ Tuzo ya Ujerumani na Afrika yaenda Tanzania na Madagascar