1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.10.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S28 Oktoba 2021

Idadi ya wanafunzi wanaoripoti shuleni katika jimbo la Marsabit nchini Kenya inaendelea kupungua+++Burkina Faso inakabiliwa na mgogoro mkubwa wa wakimbizi ambapo zaidi ya watu milioni moja wanaikimbia nchi hiyo kutokana na vitendo vya ugaidi na ghasia+++Usalama umeimarishwa mjini Rome Italia kuelekea mkutano wa kilele wa siku mbili wa viongozi wa nchi wanachama wa kundi la G20 wikendi hii.

https://p.dw.com/p/42HKj