Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) ametangaza kufutilia mbali matokeo ya uchaguzi visiwani humo na kutaka urejewe upya/ Katibu Mkuu wa CUF amewatolea wito wananchi kuwa watulivu pia akisema hautambui uamuzi huo wa kuyafuta matokeo/ Edward Lowassa asema hatokubali matokeo ya uchaguzi wa urais yanayoendelea kutolewa na tume ya uchaguzi nchini Tanzania NEC