Safari za ndege zote kutoka ndani na nje ya jimbo la Kurdistan nchini Iraq zitasimamishwa kuanzia siku ya Ijumaa jioni// Wawakilishi wa mashirika ya kimataifa wataruhusiwa kuzuru jimbo la Rakhine nchini Myanmar hii leo// Leo ni siku ya tatu tangu kumalizika uchaguzi mkuu wa hapa nchini Ujerumani.