Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni pamoja na:Rais Barack Obama wa marekani anatarajiwa kuhutubia Umoja wa Afrika leo wakati akikamilisha ziara yake barani humo// Katibu mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amesema leo kwamba muungano huo wa kijeshi unaiunga mkono kwa dhati Uturuki katika mapambano yake dhidi ya ugaidi