Miongoni mwa taarifa ni pamoja na : Benki kuu ya Ulaya unatarajiwa kuitisha mkutano wa dharura leo hii kujadili hofu iliyotanda nchini Ugiriki, kuhusu hatima ya benki zake.// Maafisa nchini Ufaransa wamemkamata mtuhumiwa wa mauwaji yaliyotokea Ijumaa iliyopita kwenye kiwanda kimoja mjini Lyon.