1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.04.2022 Taarifa ya Habari Asubuhi

Bruce Amani
28 Aprili 2022

Umoja wa Ulaya walaani hatua ya Urusi kusitisha usambazaji wa gesi kwa mataifa ya Ulaya // Mkuu wa Umoja wa Mataifa awasili mjini Kyiv kwa mazungumzo na uongozi wa Ukraine // Na Baraza la Seneti Nigeria lapitisha muswada unaoharamisha malipo ya kikomboleo

https://p.dw.com/p/4AX5H