USA-Trump ataka shule za umma kufunguliwa// Wizara ya Afya visiwani Zanzibar leo imetangaza wagonjwa wapya saba wa virusi vya corona// Mazingira ya kazi kwa wanaharakati Tanzania ni magumu, HRW// Serikali ya Tanzania kupitia shirika lake la Maendeleo ya Petroli, TPDC, imetoa kiasi cha shilingi Bilioni 5.2 kwa ajili ya kuwafidia wananchi zaidi ya 600// Zogo yaendelea kuigubika Libya.