Rais Donald Trump wa Marekani ameyasifu mazungumzo kati ya kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un na rais wa Korea Kusini Moon Jae-in// Mo Ibrahim ambaye amekuwa akitoa tuzo ya uongozi bora kwa viongozi wastaafu barani Afrika amesema bara hilo linakabiliwa na uongozi usiozingatia maslahi ya raia walio wengi.