Cologne yamtangaza Volker Finke kuwa kocha wake wa muda baada ya Frank Schaefer kujiuzulu, kautoka klabu hiyo ya Bundesliga iliyopata mshtuko.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekataa kuidhinisha azimio la kuipatia Palestina uwanachama kamili baada ya Marekani kutumia kura yake ya turufu kuzuia azimio hilo
Wasiwasi wa kimataifa umeongezeka baada ya Israel kufanya mashambulizi ya droni nchini Iran+++Mawaziri wa mambo ya nje wa mataifa tajiri duniani ya G7 wamezungumzia wasiwasi wao kwa makampuni ya China juu ya kusafirisha vifaa vya kijeshi+++Hali ya kibinadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni mbaya zaidi na imepuuzwa zaidi katika historia ya ulimwengu
Wasanii wa Sudan ambao walikimbilia Uganda kutokana na vita vinyoendelea nchini mwao, wamefanya maonyesho ya Sanaa kukumbuka mwaka mmoja tangu kuzuka kwa vita hivyo. Miongoni mwa kazi zilizoonyeshwa ni picha zinazoelezea matukio ya vita. Lubega Emmanuel alihudhuria maonyesho hayo na kututumia video hii. #kurunzi