1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.03.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S28 Machi 2017

Maaskofu wa Kanisa Katoliki katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, wamejiondoa katika kupatanisha mazungumzo ya kitaifa nchini humo kati ya serikali na wapinzani// Ikiwa imebakia takriban miezi minne kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini Kenya, Muungano wa National Super Alliance, NASA bado haujatangaza jina la mgombea wake katika kinyang'anyiro cha urais.

https://p.dw.com/p/2aAOO