Chadema yakumbwa na shinikizo kuwatimua wabunge 19 walokiuma msimamo wa chama// Uganda- Viongozi wa upinzani wahangaishwa na polisi// Wajumbe wa amani wa Umoja wa Afrika leo hii wamekutana na Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed// Waendesha mashtaka wa serikali ya shirikisho ya Ujerumani wanachunguza ushahidi wa matumizi ya kemikali katika vita vya Syria.