Kenya/ ripoti ya BBI: Viongozi wamewataka wanasiasa kutotumia hafla ya leo kuunda miungano ya kisiasa taifa linapoelekea kwenye uchaguzi na badala yake kuunganisha Wakenya/ Bunge la Ulaya limeidhinisha kwa kura nyingi, wajumbe wapya wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya/ Ujerumani: Malumbano yamegubika majadiliano ya bajeti ya serikali kuu bungeni/ Misri yatuhumiwa kuwakandamiza wapinzani